Menu ›
Burudani
Fri, 15 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwimbaji wa Bongo Fleva, Aslay amesema kuna kipindi pombe na wanawake vilimchanganya hadi kufikia hatua ya kusahau kabisa kazi yake ya muziki.
"Starehe zilikuwa ni nyingi kwa sababu nilikuwa naweza kufanya kitu chochote kwa sababu fedha nilikuwa nazo, kwa hiyo kujiamulia kufanya kitu nilikuwa na uwezo huo" anasema na kuongeza.
"Baadaye nikaingia kwenye pombe, wanawake hadi sasa nikawa nasahau kilichonifanya hadi vitu vyote vikanifuata," anasema Aslay.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live