Menu ›
Burudani
Wed, 17 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Licha ya kutokuwa na miguu wala mikono lakini Kyle Maynard kutoka nchini Marekani mwaka 2012 aliwashangaza wengi kwa kufanikiwa kupanda Mlima Kilimanjaro bila usaidizi.
Licha ya kutokuwa na miguu wala mikono lakini Kyle Maynard kutoka nchini Marekani mwaka 2012 aliwashangaza wengi kwa kufanikiwa kupanda Mlima Kilimanjaro bila usaidizi. Kyle alitumia siku 10 kupanda urefu wa mita 5895 za Mlima huo mrefu zaidi barani Afrika.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live