Menu ›
Burudani
Tue, 26 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Je, Wajua? Mary Ann Bevan mwanamke raia wa Uingereza alizaliwa mwaka 1874 na mwaka 1902 aliolewa na kuzaa watoto wanne.
Mwaka 1914 baada ya mume wake kufariki na maisha kuwa magumu alikubali kutumika kwenye maonyesho mbalimbali kama mwanamke mwenye sura mbaya zaidi duniani ili aweze kupata fedha za kujikimu na kulea watoto wake.
Usilolijua ni kwamba Mary hakuzaliwa hivyo alikuwa mrembo kabisa, lakini ugonjwa wa ajabu ulimtokea na baada ya muda akajikuta kwenye hali hiyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live