Menu ›
Burudani
Mon, 9 Jan 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Ni kama kengele za ndoa zitagonga hivi karibuni kwa Mastaa kutokea nchini Marekani, Rihanna na A$AP Rocky.
Inadaiwa kuwa wawili hao watafunga pingu za maisha mwezi ujao. Mwezi Mei mwaka Jana walibarikiwa kupata mtoto wao wa kwanza wakiwa pamoja.
Rihanna aliwahi kutoka kimapenzi na mwanamuziki Chris Brown.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live