Menu ›
Burudani
Thu, 7 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria, Asake ameweka wazi kuwa kwa sasa anatamani na angependa kufanya ‘kolabo’ na msanii kutoka nchini Marekani Kanye West.
Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria, Asake ameweka wazi kuwa kwa sasa anatamani na angependa kufanya ‘kolabo’ na msanii kutoka nchini Marekani Kanye West. Asake kupitia mahojiano yake na Billboard News ameeleza kuwa ndoto yake kubwa ambayo anatamani kuitimiza ni kufanya ‘kolabo’ na ‘rapa’ huyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live