Menu ›
Burudani
Tue, 26 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria, Asake, ameibua hisia kwa mashabiki katika tamasha lake baada ya kutanguliza video na picha mbalimbali za marehemu Mohbad aliyefariki Septemba 12, mwaka huu.
Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria, Asake, ameibua hisia kwa mashabiki katika tamasha lake baada ya kutanguliza video na picha mbalimbali za marehemu Mohbad aliyefariki Septemba 12, mwaka huu. Tamasha hilo la Flytime lililofanyika jiji Lagos usiku wa kuamkia leo, Asake alieleza kuwa amefanya hivyo kwa lengo la kutoa pongezi kwa marehemu Mohbad katika kupambania ndoto zake.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live