Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Asake ameongoza kusikilizwa zaidi mwaka 2023

ASAKE Asake.

Mon, 19 Feb 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Mtandao wa TurnTable Charts, kutoka Nigeria umetaja orodha ya wasanii waliosikilizwa zaidi mkwenye vituo mbalimbali vya radio nchini humo kwa mwaka 2023, huku Asake akishika nafasi ya kwanza.

Nafasi ya pili kusikilizwa imeenda kwa. Ayra Starr nanafasi yatatu imeenda kwa Davido na nne ni Rema tano ni BNXN

Orodha kamili:-

1. Asake – 8.4 billion

2. Ayra Starr – 8.1b

3. Davido – 7.5b

4. Rema – 7.4b

5. BNXN – 6.4B

6. Tiwa Savage – 5.8b

7. Young Jonn – 5.7b

8. Burna Boy – 5.6b

9. Kizz Daniel – 5.5b

10. Omah Lay – 5.3b.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live