Menu ›
Burudani
Tue, 9 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya kukaa kimya kwa takribani miaka mitatu bila kuachia wimbo, mwanamuziki kutoka nchini Marekani Ariana Grande ametangaza kuja na ngoma mpya iitwayo ‘Yes Or?’ January 12,2024
Baada ya kukaa kimya kwa takribani miaka mitatu bila kuachia wimbo, mwanamuziki kutoka nchini Marekani Ariana Grande ametangaza kuja na ngoma mpya iitwayo ‘Yes Or?’ January 12,2024 Mwanamuziki huyo mwenye umri wa miaka 30 amewahi kutoa nyimbo kama ‘7Rings’, ‘Position’, ‘Bang bang’, ‘Slide to slide’, ‘Focus’, ‘One last time’, na nyengine nyingi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live