Menu ›
Burudani
Sat, 3 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanamke mmoja kutoka nchini Uturuki aliyejitambulisha kwa jina la AY ameripotiwa kuomba talaka akidai kuwa mumewe aitwaye #CY hakuwa msafi wa mwili.
AY alifikisha ombi la talaka Mahakamani pamoja na mashaidi ambao walithibitisha kuwa mume wa AY ni mchafu hakuwa akioga wala kupiga mswaki.
Kulingana chombo cha habari kutoka Uturuki cha ‘Sabah’ kilieleza kuwa #Mahakama ya 19 ya Familia ilimkuta na makosa mwanaume huyo ambayo yasingeweza kuvumilika kwenye ndoa ndipo ikabidi AY kupewa talaka yake na fidia ya dola 16,419.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live