Kaka wa Marehemu Paul Walker, Cody Walker yeye na mke wake wameamua kumuenzi Staa huyo wa Filamu aliyefariki katika ajali ya gari Novemba 30, 2013, huko Valencia, Santa Clarita, California, Marekani kwa kumpa jina Mtoto wao wa tatu.
Kaka wa Marehemu Paul Walker, Cody Walker yeye na mke wake wameamua kumuenzi Staa huyo wa Filamu aliyefariki katika ajali ya gari Novemba 30, 2013, huko Valencia, Santa Clarita, California, Marekani kwa kumpa jina Mtoto wao wa tatu. Cody Walker aliripotiwa kuthibitisha kuwa mtoto wake wa tatu wa kiume ataitwa jina la Kaka yake ambalo ni PAUL WALKER kama kuendelea kumuenzi Staa huyo.