Menu ›
Burudani
Thu, 26 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii wa Bongo Flava Amber Lulu amesema kuwa anampenda sana Zuchu na anatamani akiwa mkubwa awe kama yeye.
Kupitia insta story yake Amber ameandika;
"Nikiwa mkubwa nataka kuwa kama Zuchu, nampenda huyu msichana jamani uwii",
Chanzo: www.tanzaniaweb.live