Menu ›
Burudani
Wed, 29 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Jaji ameamua tu kumchana ukweli aliyemuua marehemu Rapa NipseyHussle "Eric Holder" kwamba atapitia wakati mgumu sana gerezani.
"Pindi atakapoingia jela basi atawindwa na makundi yote ya wahuni, yani wote wale waliompenda Nipsey Hussle na maisha yake ya gerezani yatakuwa kama kuzimu."
Mwezi Uliopita (Feb 22, 2023) Eric Holder alihukumiwa kifungo cha miaka 60 jela mara baada ya kupatikana na hatia ya kumuua kwa kumpiga risasi Rapa Nipsey Hussle, Machi 31 mwaka 2019.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live