Menu ›
Burudani
Wed, 23 May 2018
Chanzo: bongo5.com
/>
“Tukutane Taifa naomba unichagulie kikosi bora unacho kikubali kutoka team tofauti katika ligi ya TANZANIA bara“amesema Mbwana Samatta.
Wawili hao watakutana kwenye mechi maalumu ya ubalozi wa kujitolea ili kuchangia elimu, hata hivyo orodha ya majina mengine ya wasanii yataendelea kutajwa kadri ya siku zinavyokwenda.
Mbwana Samatta naye amethibitisha taarifa za uwepo wake ambapo amesema “Nimepewa jukumu la kuandaa jeshi la maangamizi mchezaji gani ungependa kumuona siku iyo awe wa sasa au wa zamani?“.
_______________________________________________________________________________________________
Kwa sasa unaweza kupata habari zetu zote sehemu moja kwa kupitia App yetu ya Bongo5. Pakua sasa kupitia Play Store kwa kubonyeza link hii – https://bit.ly/2J2Argw
Loading...
Chanzo: bongo5.com