Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Alikiba awakanya waigizaji na wasanii wa muziki, Awataka wakumbuke jambo hili muhimu (+video)

Video Archive
Sun, 22 Apr 2018 Chanzo: bongo5.com

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Alikiba amewaasa wasanii wenzake wa muziki na Waigizaji wa filamu kumkumbuka mwenyezi Mungu kwani hakuna binadamu anayejua siku wala dakika ya kifo chake.

Alikiba ameyasema hayo leo Aprili 22, 2018 kwenye viwanja vya Leaders jijini Dar es salaam wakati akitoa hotuba yake fupi katika sherehe za kuuaga mwili wa Muigizaji wa filamu na Video Vixen, Agness Gerald Masogange.

Chanzo: bongo5.com