Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

"Alikiba anatulindia BongoFleva yetu" - Ebitoke

Be "Alikiba anatulindia BongoFleva yetu" - Ebitoke

Tue, 24 Aug 2021 Chanzo: eatv.tv

Mchekeshaji Annastazia Exavery 'Ebitoke' amemtaja Alikiba kwamba ndio msanii anayeilinda heshima ya muziki wa BongoFleva.

Kupitia page yake ya Instagram Ebitoke amepost video ya Alikiba akiimba remix ya wimbo wa songi songi ya msanii Maud Elka.

"King  ni mmoja tu wa Bongofleva wengine endeleeni kuimba Amapiano zenu, huyu ndio mfalme anayetulindia Bongofleva yetu" 

Hii ni mara ya pili kwa mchekeshaji Ebitoke kueleza hisia zake juu ya kumkubali Alikiba wiki moja iliyopita alishea picha ya msanii huyo akieleza kuwa amemuota ndotoni.

Chanzo: eatv.tv