Menu ›
Burudani
Tue, 2 Jan 2018
Chanzo: bongo5.com
Msanii wa Bongo Fleva, Alikiba jana Januari 01, 2018 amelitikisa jiji la Kigali nchini Rwanda kwa kufanya show kali ya kufungulia mwaka.
Tamasha hilo la East African Party 10 ambalo lilifanyika katika Uwanja wa Taifa wa mpira wa miguu wa Rwanda maarufu kama Amahoro, Alikiba alijaza watu kwenye uwanja huo.
Alikiba alitumbuiza nyimbo zake karibia zote za zamani ikiwemo Mac Muga, Cinderella, Nakshi Mrembo na nyimbo nyingine kali. Tazama picha na video za tukio hilo (Video by IGIHE TV)
Chanzo: bongo5.com