Alikiba aibuka, arusha dongo "Forbes hujitangazi una hela ndio uandikwe, danganya wenye akili fupi" (+video)
Kupitia ukurasa wa Twitter wa Alikiba ameandika kuwa “Sadala nisikilize ,kati ya hao watu ambao wewe unajidanganya kuwa Ni wenzako , na kudanganya watu wenye ufupi wa akili .hakuna hata mmoja ametanga ana hela akaandikwa FB. haina haja yakulalamika sisi ukituambia kama unahela tunaamini inatosha ila wale wana akili ndefu (mediocre)”.
Kupitia ukurasa wa Twitter wa Alikiba ameandika kuwa “Sadala nisikilize ,kati ya hao watu ambao wewe unajidanganya kuwa Ni wenzako , na kudanganya watu wenye ufupi wa akili .hakuna hata mmoja ametanga ana hela akaandikwa FB. haina haja yakulalamika sisi ukituambia kama unahela tunaamini inatosha ila wale wana akili ndefu (mediocre)”.