Menu ›
Burudani
Wed, 29 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Leo Novemba 29, ni kumbukizi ya siku ya kuzaliwa kwa Mfalme wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba maarufu kama Alikiba ambaye anatimiza umri wa miaka 37.
Katika kusheherehekea Birthday yake Alikiba ame-share na mashabiki zake vitu ambavyo hawavifahamu kuhusu yeye ambavyo vinamfanya aonekane kijana kadri siku zinavyokwenda
Kwa mujibu wa Alikiba ambaye yupo kwenye game ya muziki tangu mwaka 2006, anasema kuwa hali nyama nyekundu lakini pia hatumii pombe.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live