Menu ›
Burudani
Sat, 12 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mkongwe kwenye gemu Alikiba amesema hana tatizo na ishu ya mdogo wake Abdul kufanya kazi na hasimu wake, Diamond Platnumz.
Kiba ameyasema hayo usiku wa kuamkia leo Agosti 12, 2023 kwenye usiku maalum wa msanii Nady na waandishi wa habari kumbana kwa maswali kadhaa ikiwemo ishu hiyp ya mdogo wake kushirikiana na Diamond.
"Sina tatizo wafanye, Abdul ni msanii wa Kings, Diamond ni msanii wa Wasafi hivyo wanaweza wakafanya sina tatizo," alisema Kiba.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live