Baada ya muandaaji maudhui ya YouTube Mr Beast kufanikisha kuzikwa hai ndani ya siku saba kwenye kaburi lenye matundu ya kupitisha hewa, sasa mkali huyo amefanya tukio jingine la kukaa siku saba kwenye chumba cha pekeyake.
Baada ya muandaaji maudhui ya YouTube Mr Beast kufanikisha kuzikwa hai ndani ya siku saba kwenye kaburi lenye matundu ya kupitisha hewa, sasa mkali huyo amefanya tukio jingine la kukaa siku saba kwenye chumba cha pekeyake. Mr Beast sasa amekaa katika chumba kilichotengenezwa kwa rangi nyeupe tu na kisichopitisha sauti yoyote huku akiwa amevalia mavazi yanye rangi ya orange. Na hadi kufikia sasa video iliyokuwa ikumuonesha akiwa live kwenye chumba hichi imefikisha watazamaji 53 Milioni kwenye mtandao wa YouTube.