Menu ›
Burudani
Sat, 16 Dec 2017
Chanzo: bongo5.com
Muigizaji wa filamu wa nchini Nigeria, Ramsey Nouh ametua nchini wiki hii na Jumamosi hii ametembelea kaburi la Kaumba ambapo amewataka wasanii wa BongoMovie kupambana kama alivyopambana marehemu Steven Kanumba.
Muigizaji wa filamu wa nchini Nigeria, Ramsey Nouh ametua nchini wiki hii na Jumamosi hii ametembelea kaburi la Kaumba ambapo amewataka wasanii wa BongoMovie kupambana kama alivyopambana marehemu Steven Kanumba.
Chanzo: bongo5.com