Menu ›
Burudani
Mon, 29 Jan 2018
Chanzo: bongo5.com
Msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz amefunguka kwa mara ya kwanza kuwa siri kubwa ya mafanikio ya WCB kuendelea kuimarika na kuongeza idadi ya wasanii ni kutokana na nguvu na sapoti kutoka kwa mashabiki na sio kwamba kuna akili nyingi zinazotumika kufikia malengo.
Diamond Platnumz amesema hayo leo Jumapili wakati akimtambulisha msanii mpya wa WCB ‘Mbosso’ ambaye zamani alikuwa kwenye kundi la Yamoto Band. Tazama video hapa chini Diamond akifunguka
Chanzo: bongo5.com