Menu ›
Burudani
Mon, 25 Jun 2018
Chanzo: bongo5.com
/>
Babu Tale akizungumza na JJ wa Jembe Fm amesema kuwa ajali hiyo imetokana na dereva aliyekuwa nyuma kushinda kuzingatia taa.
“Nadhani ni dereva wa lile gari lingine hakuwa amezingatia taa, kwa hiyo alipita wakati gari ya kina Diamond linapita ndio akawagonga,” amesema Babu Tale.
Utakumbuka June 23, 2018 Diamond Platnumz ndiye aliyeweka wazi kunusurika katika ajali hiyo ya gari akiwa nchini Marekani ambapo upo kwa ajili ya tour ya albamu yake ‘A Boy From Tandale’, hata hivyo hakuna majeruhi yeyote aliyeripotiwa.
Loading...
Chanzo: bongo5.com