Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Alichosema Babu Tale kuhusu ajali aliyoipata Diamond Marekani (+Audio)

9945 28764485 109982486511166 1241356027987755008 N TZW

Mon, 25 Jun 2018 Chanzo: bongo5.com

/>

Babu Tale akizungumza na JJ wa Jembe Fm amesema kuwa ajali hiyo imetokana na dereva aliyekuwa nyuma kushinda kuzingatia taa.

“Nadhani ni dereva wa lile gari lingine hakuwa amezingatia taa, kwa hiyo alipita wakati gari ya kina Diamond linapita ndio akawagonga,” amesema Babu Tale.

Utakumbuka June 23, 2018 Diamond Platnumz ndiye aliyeweka wazi kunusurika katika ajali hiyo ya gari akiwa nchini Marekani ambapo upo kwa ajili ya tour ya albamu yake ‘A Boy From Tandale’, hata hivyo hakuna majeruhi yeyote aliyeripotiwa.

Loading...
Chanzo: bongo5.com