Menu ›
Burudani
Mon, 28 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kutoka kwenye ukurasa wa Staa wa Muziki @officialalikiba na ujumbe kwa Bondia @k_mandonga baada ya kupoteza Pambano usiku wa kuamkia leo...
"Hakuna maelekezo mengine, ukimpiga amekupiga na akikupiga amekupiga..Mandonga mtu kazi ni mtu wa kazi."
Mandonga alipigana jana visiwani Zanzibar na kupoteza pambano kwa pointi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live