Menu ›
Burudani
Mon, 11 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
CEO wa Kings Music Records Alikiba ameahidi kuchangia Tsh milioni tano kupeleka tabasamu kwa wagonjwa wa figo nchini.
CEO wa Kings Music Records Alikiba ameahidi kuchangia Tsh milioni tano kupeleka tabasamu kwa wagonjwa wa figo nchini. Kiba ametoa ahadi hiyo jana Desemba 10, 2023 kwenye uzinduzi wa taasisi ya Prof Jay inayoitwa Professor Jay Foundation.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live