Menu ›
Burudani
Mon, 25 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Bosi wa Crown Media Ali Kiba amefunguka sababu za kutowashwa kwa mitambo ya Redio yake CrownFm licha ya kutambulishwa wiki kadhaa sasa.
Bosi wa Crown Media Ali Kiba amefunguka sababu za kutowashwa kwa mitambo ya Redio yake CrownFm licha ya kutambulishwa wiki kadhaa sasa. Alikiba amesema kuwa kuna surprise ameiandaa kwa wasikilizaji wa Redio hiyo hivyo watu wakae mkao wa kula.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live