Menu ›
Burudani
Wed, 3 May 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Staa wa muziki wa Bongo Fleva, Ali Kiba ametengeneza playlist yake ya Bongo Fleva kwenye Origins ya AppleMusic ambapo ndani yake amezitaja ngoma baadhi kutoka kwa mastaa wa muziki wa WCB Diamond Platnumz, Mbosso na Zuchu.
Kwa upande wa Diamond Platnumz ngoma iliyoingia katika Playlist hiyo ni African Beauty akiwa na Omerion, Zuchu ni Fire, Mbosso ni For Your Love ft Zuchu, Huyu Hapa)
Mastaa wengine walio kwenye list hiyo ni Harmonize, Rayvanny, Nandy, Marioo, Kayumba, Darassa N.k.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live