Mwanamuziki kutoka Tanzania AliKiba amefanya Mkutano na Waandishi wa habari punde tu baada ya kuwasili nchini Kenya jana Mchana, amejibu maswali mengi ya waandishi ikiwemo lile la Talaka ambalo ‘mkewe’ Amina Khalef alilibua wiki iliyopita akimtaka AliKiba asaini hati za Talaka!
Mwanamuziki kutoka Tanzania AliKiba amefanya Mkutano na Waandishi wa habari punde tu baada ya kuwasili nchini Kenya jana Mchana, amejibu maswali mengi ya waandishi ikiwemo lile la Talaka ambalo ‘mkewe’ Amina Khalef alilibua wiki iliyopita akimtaka AliKiba asaini hati za Talaka! Kwa mafumbo, AliKiba ameeleza kwamba atatoa talaka hiyo kwa maana atasaini makaratasi ya talaka kwani ni jambo ambalo anaweza kulifanya. Ni lini?AliKiba aliwaacha na swali hilo waandishi.