Menu ›
Burudani
Tue, 8 Nov 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Elon Musk amesema kuanzia sasa akaunti itakayotumia jina la mtu mwingine, bila kuweka wazi kuwa ni bandia (parody) itafungiwa moja kwa moja.
Elon Musk amesema kuanzia sasa akaunti itakayotumia jina la mtu mwingine, bila kuweka wazi kuwa ni bandia (parody) itafungiwa moja kwa moja. Awali Twitter ilikuwa inatoa onyo kabla ya kuzifunga, lakini sasa hakutakuwa na onyo, na tayari akaunti zilizotumia jina lake zimefungiwa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live