Menu ›
Burudani
Wed, 15 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwaka 1964 mwanaume aliyefahamika kwa jina la John Thomas Doyle, alijiua kwa kujirusha kutoka kwenye Daraja la Golden Gate nchini Marekani.
Kilichowashangaza wengi ni ujumbe aliouacha baada ya kujiua, ulisomeka hiviii:
"Sina sababu yoyote isipokuwa maumivu ya jino"
Chanzo: www.tanzaniaweb.live