Menu ›
Burudani
Wed, 27 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Familia ya msichana mwenye umri wa miaka 8 ambae alikwama kwenye Pipe ya Bwawa la kuogelea na kufariki kwenye hoteli moja huko Houston, Texas, imeifungulia kesi hotel hiyo wakitaka vidia ya $1M-Tsh.Bilioni 2.5+.
Msichana huyo, aitwaye #AliyahJaico, alifariki katika hali ya kuhuzunisha alipokuwa katika hoteli ya #DoubleTreeByHiltonHoustonBrookhollow, inayosimamiwa na #Hilton na #UniqueCrowneHospitality.
Mama mzazi wa #Aliyah anadai uzembe wa hotel hiyo ndio chanzo kutokana na pipe za Bwawa hilo kuwa mbovu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live