Menu ›
Burudani
Fri, 22 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii wa filamu Bongo,Aggy Baby amesema kwa siku moja anatumia bando la Tsh milioni 3 na matumizi yake kwa ujumla kwa siku ni zaidi ya Tsh milioni 6.
Msanii wa filamu Bongo,Aggy Baby amesema kwa siku moja anatumia bando la Tsh milioni 3 na matumizi yake kwa ujumla kwa siku ni zaidi ya Tsh milioni 6. "Bando kwa siku natumia Tsh milioni 3, matumizi yangu kwa siku ni fedha nyingi sana, nikizitaja hapa mtu anaweza asiamini ila natumia Tsh milioni 6," amesema Aggy Baby.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live