Afshan Esmaeil Ghaderzadeh, Raia wa nchi ya Iran, mwenye umri wa miaka 20 (amezaliwa Julai 13, 2002), amevunja rekodi iliyokuwa inashikiliwa na Edward Hernandez maarufu "Nino" kutoka Colombia (miaka 36) ya kuwa Mwanaume mfupi zaidi Duniani.
Afshan Esmaeil Ghaderzadeh, Raia wa nchi ya Iran, mwenye umri wa miaka 20 (amezaliwa Julai 13, 2002), amevunja rekodi iliyokuwa inashikiliwa na Edward Hernandez maarufu "Nino" kutoka Colombia (miaka 36) ya kuwa Mwanaume mfupi zaidi Duniani. Kwa mujibu wa Guinness World Records, Afshan ana urefu wa futi 2 na Inch 1.6 huku akiwa "Cm" Saba (7) pungufu ukilinganisha na urefu wa Edward Hernandez.