Menu ›
Burudani
Mon, 11 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanamuziki mkongwe kutoka nchini Marekani Adele amesema kuwa japo yeye siyo muimbaji bora Duniani lakini hakuna mtu yeyote anayeweza kuimba nyimbo zake kama aimbavyo yeye.
Mwanamuziki mkongwe kutoka nchini Marekani Adele amesema kuwa japo yeye siyo muimbaji bora Duniani lakini hakuna mtu yeyote anayeweza kuimba nyimbo zake kama aimbavyo yeye. Ameyasema hayo akiwa katika mahojiano na #TheHollyWoodRepoter huku akidai kwa sababu hakuna mtu anayemsaidia kwenye kuandika nyimbo zake hivyo hajali wasanii wengine wakifanya Cover.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live