Menu ›
Burudani
Thu, 5 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mtandao wa ku-Stream muziki wa Audiomack Africa umeiweka '5 The Ep' ya Abigail Chams katika nafasi ya Tatu, kwenye albamu mpya Tano zilizosikilizwa zaidi wiki hii.
Septemba 29 mwaka huu, EP hiyo yenye mikwaju Sita, ilitoka rasmi ikiwa na kolabo kadhaa na wasanii Whozu, Rayvanny, Chino Kidd na Marioo imeendelea kupata mapokezi mazuri kupitia digital platforms tofauti.
Albamu 5 mpya zilizosikilizwa zaidi kwenye Audiomack, Wiki Hii:
1. Gold || Otega Billz
2. How Im Built || Ricch Kid
3. 5 || Abigail Chams
4. Chukela || Dj Maphorisa x Tman Xpress
5. Kapacity || Bobby Kapacity
Chanzo: www.tanzaniaweb.live