Menu ›
Burudani
Wed, 8 Jun 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwimbaji chipukizi wa muziki wa kizazi kipya, Abby Chams amekaribishwa rasmi kwenye record label ya Sony Music Africa baada ya kusaini mkataba.
Mwimbaji chipukizi wa muziki wa kizazi kipya, Abby Chams amekaribishwa rasmi kwenye record label ya Sony Music Africa baada ya kusaini mkataba. Abby anayesifika kwa kuwa na sauti nzuri awapo jukwaani na fundi wa kupiga vyombo karibu vyote vya muziki, sasa atakuwa akifanya kazi chini ya usimamizi wa label hiyo kubwa na maarufu ulimwenguni.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live