Juma lililopita Dunia iliingiwa na huzuni kubwa baada ya Nchi ya Morocco kukumbwa na Tetemeko kubwa la Ardhi lenye ukubwa wa (6.8-magnitude) na kuchukua roho za watu wasio pungua 2000 na zaidi na majeruhi wengi.
Sasa kitu cha kushangaza Kama sio kuchekesha kuna mwamba yeye alijiokoa na kutoka njee na PS 5 yake mkononi
Tukio hilo liliibua maswali kwa wengi yani yeye aliona cha muhimu kwanza Ni PS GAME PS 5 ndio aangalie uhai wake ama hakuna kingine cha muhimu ila ni PS 5 tu ndio cha kutoka nacho
Tunawapa Pole Ndugu zetu wa Morocco ila huyu mwamba sio kwa kupenda huku game huyu ni mlevi kabisa wa game.