Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

AY na mchumba wake wafunga ndoa

3025 19984809 128385204428990 6165692455560675328 N TZW

Mon, 12 Feb 2018 Chanzo: bongo5.com

Rapper Ambwene Yessayah maarufu kama AY amefunga ndoa na mchumba wake wa siku nyingi, Remy.



Wawili hao wamefunga ndoa leo nchini Rwanda ambako ndipo anatokea Remy. Bado AY au watu wake wa karibu hawajaposti katika mitandao ya kijamii kuelezea hilo.

July mwaka jana, 2017 ndipo AY alimvisha pete ya uchumba Remy na tukio hilo ilihudhuriwa na watu wa karibu wa wawili hao.

AY alipokuwa akimvisha Remy pete ya uchumba

Remy na AY katika harusi ya Professor Jay mwaka jana

Chanzo: bongo5.com