Menu ›
Burudani
Wed, 15 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii mkongwe wa Bongo Fleva, Ambwene Yessaya 'AY' kupitia ukurasa wake wa instagram ame-post picha hii akiwa studio na kondeboy Harmonize ikiwa ni mara yao ya kwanza kuonenaka pamoja studio.
AY amepost picha hii na kuandika maneno haya; "Hell On Earth Harmonize".
Harmonize anatarajia kuachia albam mpya Novemba 24, mwaka huu iliyopewa jina la "Visit Bongo".
Chanzo: www.tanzaniaweb.live