Menu ›
Burudani
Mon, 30 Jan 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kwa upande wa Amber Rose, wanaume hawana nafasi tena kwenye maisha yake, ametangaza kwamba atabaki kuwa Single milele yaani mpaka Kufa kwake.
Kwa upande wa Amber Rose, wanaume hawana nafasi tena kwenye maisha yake, ametangaza kwamba atabaki kuwa Single milele yaani mpaka Kufa kwake. Amber Rose amefunguka hayo kupitia mahojiano na Podcast ya “Sofia with an F” Mrembo huyo amewahi kuwa na mahusiano na wanaume kadhaa maarufu akiwemo Kanye West, lakini pia kuzaa na Wiz Khalifa pamoja na Alexander Edwards.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live