Menu ›
Burudani
Mon, 31 Aug 2020
Chanzo: zanzibar24.co.tz
Msanii wa muziki nchini Tanzania kutoka Konde Gang ametua uwanja wa Mkapa kwa staili ya kamba kitu ambacho kiliwafanya maelfu ya mashabiki kumshangalia. Muimbaji huyo alitua uwanjani hapo akiwa na watu zaidi 100 , dansa, walinzi pamoja na watu wa sarakasi.
Msanii wa muziki nchini Tanzania kutoka Konde Gang ametua uwanja wa Mkapa kwa staili ya kamba kitu ambacho kiliwafanya maelfu ya mashabiki kumshangalia. Muimbaji huyo alitua uwanjani hapo akiwa na watu zaidi 100 , dansa, walinzi pamoja na watu wa sarakasi.
Chanzo: zanzibar24.co.tz