Menu ›
Burudani
Tue, 18 Apr 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya Tetesi kusambaa mtandaoni kuhusu Rapa na Muigizaji 50 Cent kudaiwa kumchumbia mpenzi wake Cuban Link, hatimaye ukweli umejulikana kuwa wawili hao hawajavalishana pete.
Baada ya Tetesi kusambaa mtandaoni kuhusu Rapa na Muigizaji 50 Cent kudaiwa kumchumbia mpenzi wake Cuban Link, hatimaye ukweli umejulikana kuwa wawili hao hawajavalishana pete. Jibu hili limekuja baada ya pete ambayo imetajwa kuwa 50 amemvalisha mpenzi wake huyo siku za hivi karibuni kuonekana kwenye moja ya picha zake ambazo alishawahi kuzi-post mara nyingi Julai 2022.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live