Menu ›
Burudani
Mon, 15 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rapa 50 Cent ameinua mdomo wake na kusemea kinachoendelea kati ya Drake na mahasimu zake kwenye bifu ambalo linaendelea kupikwa.
Rapa 50 Cent ameinua mdomo wake na kusemea kinachoendelea kati ya Drake na mahasimu zake kwenye bifu ambalo linaendelea kupikwa. Kupitia Diss ambayo ameituma Drake wikendi hii kwenda kwa Kendrick Lamar na Rick Ross, 50 Cent amekaa upande wa Drizzy akisema, amewanyoosha washkaji na kuwaambia wajipange na warudi na kitu kingine!
Chanzo: www.tanzaniaweb.live