Menu ›
Burudani
Tue, 21 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
50 Cent amejitokeza na kulalamikia taarifa ya ofisi ya mawakili jimbo la Los Angeles Marekani, kushindwa kumshtaki kwa sababu tukio hilo lilifanyika muda mrefu (2016) hivyo kisheria limepita muda wa kufunguliwa mashtaka.
50 Cent ameandika kupitia ukurasa wake wa Instagram, kuwa wameamua kuvujisha video hiyo kwa kuwa walijua hawawezi kumshtaki, na wanadhani watu hawajaona kilichoonekana.
Tuendelee kusubiria mvua iendelee kunyesha tuone panapovuja
Chanzo: www.tanzaniaweb.live