Menu ›
Burudani
Thu, 12 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
‘Rapa’ 21 Savage ametangaza kufanya tamasha lake la kwanza katika nchi aliyozaliwa ambapo onesho hilo linatarajiwa kufanyika katika uwanja maarufu wa O2, London nchini Uingereza.
‘Rapa’ 21 Savage ametangaza kufanya tamasha lake la kwanza katika nchi aliyozaliwa ambapo onesho hilo linatarajiwa kufanyika katika uwanja maarufu wa O2, London nchini Uingereza. Tamasha hilo linatarajiwa kufanyika Novemba 30, mwaka huu na litakuwa la siku mbili ambapo ‘tiketi’ zinatalajiwa kuanza kuuzwa Oktoba 13.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live