Menu ›
Burudani
Wed, 22 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mpenzi wa zamani wa rapa wa kike #NickiMinaj na mwandishi wa nyimbo Safaree Samuel anaamini kuanzia mwaka 2000 mpaka 2015 ndio muda uliokuwa na kizazi bora cha muziki.
Safaree ameshea hilo kupitia mtandao wake wa X baada ya kuandika; "Muziki wa Era ya 2000 - 2015 ulikuwa wakati bora zaidi katika muziki, kulikuwa hakuna mitandao ya kijamii na video zilikuwa za moto. kizazi cha sasa hakipendwi"
Kizazi gani kilikuwa bora kwenye muziki kwa upande wako?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live