Menu ›
Burudani
Fri, 29 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Staa wa Po duniani, Chris Brown ameeleza rasmi kuwa albam yake ya '11:11' ipo tayari.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameweka cover ya album hiyo na kuandika kuwa, “na hivi sasa ni muda wakufanya matamanio kuwa ya kweli”.
Mara ya mwisho Chris alitoa album mwaka 2022 aliyoipatia jina la "Breezy".
Je, unatamani kuona kitu gani cha tofauti katika album hii ijayo?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live