Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Wema Sepetu alivyofika Mahakamani Kisutu na Wakili Msando

2826 Wema54 660x400

Fri, 9 Feb 2018 Chanzo: millardayo.com

Baada ya Wakili maarufu Peter Kibatala kujitoa kumtetea Msanii wa Filamu nchini, Wema Abraham Sepetu, leo February 8,2018 Msaniii huyo amefika Mahakamani akiwa na wakili Albert Msando.

Albert Msando alitangaza kumtetea Wema baada ya Wakili Kibatala kuandika barua ya kujitoa kumtetea.

Wema amefika Mahakamani hapo kwa ajili ya kufatilia kesi yake ya kukutwa na msokoto wa Dawa za Kulevya aina ya bangi akiwa na wafanyakazi wake wawili nyumbani kwake Ununio DSM.

Mbali na Wema, washtakiwa wengine wanaokabiliwa na kesi hiyo ya kutumia dawa za kulevya ni Angelina Msigwa  na Matrida  Abbas.



TOP 10: HIZI NDIZO HOTELI ZENYE VYUMBA VYA BEI ZA JUU ZAIDI DUNIANI

Chanzo: millardayo.com