Fri, 21 Jul 2023
Chanzo: Habarileo
Jeshi la polisi mkoani Tanga linamshikilia Elias Ndekelo (27) mkazi wa rukozi wilaya ya Lushoto kwa tuhuma za mauaji ya mwanakwaya mwenzie Paul Daniel (35) yaliyohusisha wivu wa mapenzi.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Tanga Henry Mwaibambe amethibitisha tukio hilo.
Chanzo: Habarileo