Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba amesema kuwa kuna watu wanaomba vibali vya biashara na likizo nchini wanawachukua mabinti wanawapeka kwenye kumbi nchi za watu wanawavua nguo kinyume na tamaduni. Ameeleza kuwa Tanzania haijasaini biashara ya kufanya biashara ya kusafirisha watu; Tazama video hii akieleza.
Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba amesema kuwa kuna watu wanaomba vibali vya biashara na likizo nchini wanawachukua mabinti wanawapeka kwenye kumbi nchi za watu wanawavua nguo kinyume na tamaduni. Ameeleza kuwa Tanzania haijasaini biashara ya kufanya biashara ya kusafirisha watu; Tazama video hii akieleza.